Wanasiasa, wanaharakati watofautiana ukuaji wa soko la tumbaku Tanzania
Kukosekana kwa utashi wa kisiasa na ukuaji wa soko la tumbaku kumetajwa kama kichocheo cha ongezeko la matumizi ya sigara na vifo kwa vijana nchini. Uvutaji wa sigara katika nchi zilizoendelea...
View ArticleUkosefu wa maji safi na salama wahatarisha afya za wananchi vijijini
Upatikanaji wa maji safi na salama ni muhimu kwa afya zetu. Maji yasiyo safi na salama ni chanzo cha magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu na kuhara ambayo yanaweza kusababisha vifo. Machi 22 ya kila...
View ArticleTAHADHARI: Mafuta ya lavenda, chai huchochea wanaume kuota matiti
Pamoja na kukosekana kwa idadi kamili, lakini ukweli ni kuwa Tanzania, kama ilivyo kwa nchi zingine, kumekuwepo ongezeko la wavulana na hata wanaume, kuonekana kuwa na matiti makubwa. Kawaida,...
View ArticleAIDS doesn’t isolate, but people do
It is a terminal disease. No vaccine, no medicine but could be avoided when everyone gets proper education. Each of us will be safe from the virus and thus refrain from stigmatizing the victims. This...
View ArticleWanafunzi nchini kupimwa TB kabla ya kuanza masomo
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jnsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amewaagiza madaktari katika hospitali na vituo vya afya kuwafanyia uchunguzi wa ugonjwa wa kifua kikuu wanafunzi kabla ya...
View ArticleUhaba wa madaktari, msongamano wa wagonjwa waitesa Zahanati ya Bugarika...
Imeelezwa watanzania watalazimika kusubiri kwa muda mrefu ili kupata huduma bora za afya kwenye zahanati na vituo vya afya kutokana na uhaba wa madaktari na wahudumu wa afya unaoendelea nchini. Kwa...
View ArticleWananchi Mpwapwa, Kondoa wanyimwa fursa kutoa malalamiko katika vituo vya afya
Mifumo ya utoaji malalamiko katika vituo vya afya ni moja ya vitu muhimu katika kuboresha utoaji huduma za afya nchini. Kukosekana au kutokufanya kazi kwa mifumo hii kunapunguza fursa ya watumia...
View ArticleKuna tofauti gani katika aina zote za dawa za meno?
Ukijaribu kwenda kwenye maduka makubwa utashangazwa na idadi ya dawa za meno utakazokutana nazo. Zipo aina nyingi na ni msululu wa dawa umepangwa kwenye makabati baadhi zikifanya kazi ya kung’arisha...
View ArticleCHLOROFORM: Dawa ya usingizi inayotumiwa na wezi kuwapulizia watu kabla ya kuiba
Katika siku za hivi karibuni umezuka mjadala juu ya kukithiri kwa vitendo vya uhalifu unaohusisha wezi kuingia kwenye nyumba za watu nyakati za usiku na kuwapulizia dawa ya usingizi na kisha kuchukua...
View ArticleUnapenda kujilaza kitandani kwa muda mrefu? Hizi ndizo athari za kiafya...
Kulala kwa muda mrefu kunahusishwa na matatizo ya kuharibika kwa ngozi na kupata maumivu ya viungo hasa mgongo. Pia kujilaza kitandani muda mrefu huusishwa na matatizo ya msongo wa mawazo, mkazo...
View ArticleUkosefu wa vitamini D kwa wajawazito sababu kubwa watoto kupata Usonji
Duniani kote , Aprili 2 ya kila mwaka ni siku iliyotengwa kueneza ufahamu, kujenga uelewa na kukubali juu ya hali ya usonji, ambayo kitaalamu inajulikana kama “Autism”. Kaulimbiu ya mwaka huu ni ‘...
View ArticleWhich way on tobacco; wealth or health?
There is a big fight going on in Tanzania just like anywhere in the world. The winning card is within ourselves. Tobacco is the center of the battle field. One side is battling on profit-making while...
View ArticleCSI yatoa mafunzo kwa wakunga, vifaa tiba kukabiliana na vifo vya wajawazito...
Kwa mujibu wa Shirika la Watoto Duniani (UNICEF) linaeleza kuwa watoto wachanga 7000 hufariki kila siku duniani kote ambapo ni sawa na watoto 21,000 kwa mwezi. Ripoti hiyo inafafanua kuwa sio vifo...
View ArticleSerikali kutoa chanjo kuwakinga wasichana dhidi ya saratani ya kizazi
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa kila mwaka Tanzania inakadiriwa kuwa na wagonjwa wapya wa Saratani 50,000 huku Saratani ya mlango wa kizazi...
View ArticleNi wakati sahihi kwa Tanzania kutumia roboti kwenye matibabu ya binadamu?
Licha ya kuimarika kwa huduma za afya nchini China bado wagonjwa wanaoenda kutibiwa katika hospitali nyingi wanalazimika kukaa kwenye foleni kwa dakika kadhaa kabla ya kumuona daktari na kupata...
View ArticleUnataka kuoa au kuolewa? Fahamu kundi la damu la mweza wako
Kuna vitu vingi vya kuzingatia unapomchagua mtu kuwa mwenza wa maisha yako. Jambo mojawapo la kuangalia ni kundi la damu. Sio kitu kinachozingatiwa na watu wengi wakati wa uchumba lakini fahamu kuwa...
View ArticleKwanini watu wanaopoteza utajiri ghafla wanakufa mapema?
Kwa mujibu wa utafiti mpya uliofanywa nchini Marekani, watu wanaopoteza utajiri au mali zao ghafla wana uwezekano mkubwa kufa mapema kuliko wale ambao wanafirisika taratibu. Utafiti huo ulifanywa na...
View ArticleMgawanyo usio sawa wa hospitali, zahanati unavyokwamisha huduma za afya kwa...
Imeelezwa kuwa watanzania watalazimika kusubiri kwa muda mrefu ili kupata huduma bora za afya kutokana na uchache wa vituo vya kutolea huduma hizo ambavyo haviendani na ongezeko la idadi ya watu...
View ArticleSababu za kukosa usingizi wakati wa ujauzito na tiba yake
Jukumu la kutunza familia ni la wazazi wote wawili yaani mwanaume na mwanamke. Lakini majukumu ya mwanamke huongezeka pale anapopata ujauzito, hulazimika kumlea mtoto aliyepo tumboni mpaka azaliwe...
View ArticleJe, unafahamu watu wanapataje Mzio (Allergy) ya vitu, hali ya hewa au vyakula?
Watu wanaweza kupata mzio wa vitu au vyakula katika namna mbili; Kwanza, wanawaweza kuwa na mzio wa kitu fulani tangu kuzaliwa (Hii ni kutokana na vinasaba vyao) au wanaweza kupata mzio kadiri umri...
View Article