Quantcast
Channel: Afya – Fikra Pevu
Browsing all 296 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwanini hakuna Saratani au kansa ya Moyo?

Kugundua kwamba una saratani au ndugu yako ana saratani huwa ni kipindi kigumu sana maishani. Saratani imekuwa janga kubwa sana duniani na hujitokeza katika namna tofauti. Saratani husababisha vifo vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bajeti ya afya 2018/2019 bado tegemezi, yafyekwa kwa asilimia 20

Imeelezwa kuwa kuna uwezekano mkubwa kwa watanzania kukosa huduma bora za afya kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kutokana na kupunguzwa kwa bajeti ya  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kadi alama ya lishe  kutokomeza utapiamlo, udumavu kwa watoto chini ya miaka 5

Serikali imeanza kutumia kadi alama ya lishe ili kuongeza uwajibikaji kwa watoa huduma itakayosaidia kupunguza tatizo la utapiamlo na udumavu kwa watoto nchini. Muhtasari wa hali ya utapiamlo Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mikoa 10 Tanzania Bara vinara maambukizi ya Malaria

Aprili 25 kila mwaka dunia huadhimisha siku ya Ugonjwa wa Malaria. Lengo hasa ni kutathmini hatua zilizopigwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa ambao unaua maelefu ya watu kila mwaka. Kauli mbiu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni wakati sahihi kwa wanaume kutumia vidonge vya uzazi wa mpango?

Kwa muda mrefu sasa wanawake wamekuwa wakiwajibika kutumia njia za uzazi wa mpango kuzuia mimba zisizo tarajiwa. Wengine wanatumia njia za muda mrefu kama vipandikizi, kukata mirija ya inayosafirisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Likizo ya uzazi kwa wanaume na mgongano wa sheria, mila na wanasiasa

Jukumu la kumlea na kumtunza mtoto ni la wazazi wote wawili yaani baba na mama. Matunzo hayo yanaanza mama anapokuwa mjamzito mpaka siku ya kujifungua. Katika siku za mwanzo za kuzaliwa mtoto,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wageni wanaoingia nchini kupimwa homa ya manjano

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema inaendelea kupima na kutoa chanzo ya ugonjwa wa homa ya manjano kwa wasafiri wanaoingia nchini ili kudhibiti maambukizi ya ugonjwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPANDA:  Shule inayoongoza kwa ufaulu Kyela licha ya changamoto lukuki

Wanafunzi wa shule ya msingi Mpanda iliyopo kata ya Ipyana wilayani Kyela wanalazimika kusoma kwa kupokezana kutoka na madarasa ya shule ya kuchakaa na kutokufanyiwa ukarabati kwa muda mrefu. Mwalimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wilaya 6  vinara ugonjwa wa ukoma nchini. Mila potofu zachochea tatizo kwenye...

Imeelezwa kuwa watanzania wanashauriwa kuendelea kujihadhari na ugonjwa wa ukoma, licha ya kupungua kwa maambukizi yake katika maeneo mbalimbali nchini. Tahadhari hiyo inatokana na uchunguzi wa Wizara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajawazito watakiwa kuhudhuria kliniki kujiepusha na fistula

Imeelezwa kuwa wanawake kati ya 1,200 na1,500 hupata ugonjwa wa fistula nchini na hali inayohatarisha maendeleo ya afya zao na watoto wanaozaliwa kila mwaka. Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yapata somo utoaji wa chakula shuleni

Wakati mjadala ukiendelea kuhusu serikali ya Zanzibar kuagiza walimu 300 kutoka Nigeria kwaajili ya kufundisha masomo ya sayansi, nchi hiyo imeendelea kutoa somo la uboreshaji elimu kwa Tanzania baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanasayansi wagundua virusi vya Zika kutibu kansa ya ubongo

Virusi vya Zika vinavyosababisha watoto kuzaliwa wakiwa na ubongo uliodumaa na vichwa vidogo vimeibainika kama njia mojawapo ya kutibu kansa ya ubongo ijulikanayo kama ‘glioblastoma’ Homa ya Zika ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ulaji mbaya wa chakula watajwa kusababisha kansa ya matiti kwa wanawake

Thamani ya maisha haiko kwenye muonekano wa mtu na vitu vinavyomzunguka bali kwenye chakula anachokula kila siku ili kuwa na afya njema. Lakini umewahi kujiuliza, chakula kinawezaje kupunguza uwezekano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyakula hivi vitakulinda dhidi ya athari za kiafya za uchafuzi wa hewa

Tunaishi katika ulimwengu unaokabiliwa na athari kubwa za mabadiliko ya hali ya hewa. Moja ya athari hizo ni kuongezeka kwa joto na kupungua kwa mvua katika maeneo mbalimbali. Athari hizi zinagusa moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi wa afya 200 kupatiwa mafunzo ya utoaji dawa ya usingizi kuokoa...

Kufuatia upungufu wa wataalamu wa dawa za usingizi (anaesthesia), serikali itatoa mafunzo ya dawa za usingizi kwa watumishi wa afya 200 katika vituo vya afya vya upasuaji wa dharura kwa akina mama...

View Article


Uchambuzi wa Kina: Kwa Nini Sheria ya Bima ya Afya ya Taifa Haiwezi Kudumu

  Katika mazingira mengi, ushauri wa Anglo-American haujatuletea ustawi katika maeneo mengi bali umetuachia jeraha la uso. Badala ya kuinua kalamu na kurudia wimbo ule ule kwa sababu diski imeharibika,...

View Article
Browsing all 296 articles
Browse latest View live